Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani
الإمام المهديّ ناصر محمّد اليمانيّ
25 - مُحرّم - 1446 هـ
31 - 07 - 2024 مـ
03:44 مساءً
(Kulingana Na Taqwimu Rasmi Ya Umul Qura)
(بحسب التَّقويم الرّسميّ لأم القُرى)


[ لمتابعة رابط المشاركة الأصلية للبيان ]
https://nasser-alyamani.org./showthread.php?p=455545
_____



تعزيةٌ لشعوبِ الأمّة العربية والإسلامية في الشّهيد الحيِّ في جنّات النّعيم إسماعيل عبد السّلام أحمد هنيّة رئيسُ المكتب السياسيّ لحركة حماس الجهاديّة..
Salami za maunbelezi za rambirambi kwa watu wa taifa la Kiarabu na Kiislamu kuhusiana na shahidi aliye hai katika bustani za neema, Ismail Abdel Salam Ahmed Haniyeh, mkuu wa ofisi ya kisiasa ya harakati ya jihadi ya Hamas..


Bismillah Arahman Arahim Na Swala Na Salam Ju ya alie hitimisha ma Nabi na Mitumi na ju ya shahidi wa umma wa kislamu mgeni mtukufu kwa Mola Mlezi wa Ulimwengu Shahidi hai Katika Bustani ya Neema; Ismail Abdel Salam Ahmed Haniyeh, mkuu wa ofisi ya kisiasa ya harakati ya jihadi ya Hamas Walio kirimiwa.


Wamebaki Haniya elfu moja, na tunatoa habari njema kwa shauku ya wana mgambo wa Kiislamu kwamba wao ndio watakuwa washindi, Kwa kweli, askari-jeshi wa Mungu ndio watakaoshinda askari-jeshi wa Benyamini jeuri na askari wake ni askari wa ibilisi. Basi piganeni na washirika wa dhalimu, kwani vitimbi vya Shet'ani ni dhaifu.


Nawabashiri kwa habari njema kwa Hamas Mujahidina wa Palestina na marafiki zao walimwengu kwamba idadi ya wahalifu waliouawa katika jeshi la Kizayuni ni maelfu mengi na hilo litadhihirika kwa walimwengu.


Namshuhudisha Mungu, Bwana wa walimwengu, kushuhudia kwamba Rais wa Israeli Benjamin Natanyaho na jeshi lake ni miongoni mwa walioshindwa na kughilibiwa. Na askari wa Mwenyezi Mungu ndio waliotukuka zaidi, wao ni washindi, na wao walio nusuriwa ,na wao na marafiki zao wote. Macho ya waoga hayalali. Kila mhaini miongoni mwa viongozi wa taifa la Kiarabu na Kiislamu atakufa kwa ghadhabu zao, na Mwenyezi Mungu atawafedhehesha kwa fedheha kubwa. Wale walioiuza dini yao na umma wao na wakawafanya mashetani kuwa ni washirika badala ya Waumini. Walishughulikia hata kufidia hasara ya uchumi wa Israeli na kutunza fedha za vita, kwa sharti kwamba maadui wa Mungu kutoka miongoni mwa wana wa Israeli wawaangamize askari wa Mungu, Hamas! Na haihat haihat Kwa Mola Mlezi wa ardhi na mbingu, Hamas katika ardhi ya Palestina itashinda Hata lau mashetani wote wa Kiarabu na mawalii wasiokuwa Waarabu wa dhalimu wangekubali kuwaondoa, wasingeliweza, na lau wangekusanyika kwa ajili yao, wasingeweza. Na Vipi watawashinda askari wa Mola Mlezi wa walimwengu wote, Mwenyezi Mungu yu pamoja nao?! Neema Almawula Wa Neema Anasir.


Na Salam Ju Ya Mitumi Na Al’Hamdulillah Rabil3amin..


Khalifa Wa Allah Ju Ya Ulimwengu Wote; Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani.
خليفةُ اللهِ على العالمِ بأسرهِ؛ الإمامُ المَهديّ ناِصر مُحمّد اليمانيّ.
_____